Tanzanian actress and Model Wema Sepetu recently turned a year older and she organised a big party to mark the milestone.

One of the things that saw her spent a lot on this year’s birthday was the fact that she had successfully managed to quit drinking.

The popular actress has clocked 9 months ever since she last tasted alcohol and that surely called for a celebration.

“Nacelebrate maisha yangu, lakini nacelebrate maisha yangu ya mapenzi, nacelebrate mafanikio yangu ambayo nimeweza kuya achieve, nacelebrate kuacha pombe kwangu kwa hivyo nacelebrate vitu vingi, I deserve a celebration,” she told digital reporters who were at the venue of her birthday party.

One of the reasons she embarked on an alcohol free journey is because she didn’t realise any positive impact it had on her. According to her, there is no bad experience that saw her make the resolution.

“Kitu kingine ambacho ninajivunia sana ni kitendo cha mimi kuacha pombe. Nimeweza kuovercome hilo swala na najivunia kwasababu ni kitu ambacho mtu mwingine anaona Wema amwewezaje lakini am proud of myself.

“Nimekunywa pombe kwa miaka mingi naona ya kwamba haijawahi nisaidia na kitu chochote so why kuendelea [kuinywa]. Leo inafikisha miezi tisa. Nilifanya kama new year resolution kwa hio tokea January tarehe moja mi sinywi pombe,” the model said.

Another reason that she had to stop drinking is because her fiance Whozu doesn’t take alcohol completely and her drinking cause trouble  in their relationship.

“Ni mmoja wa watu ambao wameweza kunimotivate. Huyu chibaba wangu sio mtu wa kunywa pombe na tulikuwa tukigomabana sana most of the time nikinywa pombe kwa hio nikiendelea kunywa pombe naweza nikamlose mpenzi wangu ninaye mpenda na siko tayari,” she explained.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by ✨Wema App✨ (@wemasepetu)

 

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *