diamond

Tanzanian artist Diamond and his media house Wasafi are currently on a nationwide tour, dubbed Wasafi Festival.

The tour kicked of earlier this month and it has seen WCB artists as well as other Tanzanian artists perform in Songea, Mtwara, Sumbawanga and Ruangwa.

According to Diamond, they still have more than 10 provinces to visit in Tanzania.

Keen followers of the festival have however noticed that Zuchu is the only female artist that has been featured in the festival, yet Tanzania has a number of female artists that are doing very well.

Diamond was questioned about that during a press briefing whereby he was marking five years working with Pepsi.

Responding to the question, the WCB boss revealed that some artists have pride and that’s why he cuts them off.

“Ukiangalia wasanii wanaenda wanarotate lakini kwenye uhalisia ni ngumu kuwacha wasanii ambao kiukweli wanafanya vizuri ukawachukua watu eti kwasababu unataka kubadilisha watu. Tulitangaza before eti tunakuja wasafi festival kila msanii ajitahidi kuweka mawe. Sisi kama media tulisema nyimbo zote zinatoloa hazitapigwa tu, zitapigwa high rotation kwasababu tunaelekea kweneye festival.

“Kwa hivyo kila mtu atoe nyimbo zake , wasanii watakokuwa kwenye peak wakati huo wataingia kwenye festival. Sasa mimi niwambie tu kwamba fetsival bado inaendelea tuko mkoa wa nne bado tuna mikoa zaidi ya kumi. Watu waendelea kutoa nyimbo zao waendelee kufanya vitu, watakuwa wanaingia taratibu. Sasa unajua wasanii wanakuwa watu tayari wako na ratiba zao. Tutazidi kuwaingiza wasanii wote tofauti tofauti.  Wasanii pia tunawapigia simu waje kwenye tamasha wasiniltee pozi, wakiniletea pozi mimi nakukata sasa hata wasipokuwepo show yetu itajaa, wasanii tuweke flexibily  ili tushiriki wote,” he said.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by SIMBA..!🦁 (@diamondplatnumz)

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *