Sultana

Actress Mwanaasha Johari, who plays the lead role in  popular Citizen TV series Sultana, has revealed that she is single.

In an interview with a local website, Sultana said that she decided to stay single so that she can focus on her acting career. According to her, she landed a role in the popular TV series  when she was going through a lot in her previous relationship.

“Hii riziki yangu ya Sultana ilikuja wakati nilikuwa napitia mambo magumu sana kwenye mahusiano. Nitaweza kuiita heartbreak. Ni mimi niliamua sitafocus kwa mambo ya mapenzi ili niangazie kazi,” Sultana said.

The 23-year old however said that it will be okay if  she meets someone who will understand the nature of her work, adding that she can’t turn her back on acting because of marriage.

She further said that artists also have feelings and can last in marriages.

“Isichukuliwe kwamba wasanii hatuwezi ndoa. Tuna hisia. Tunastahili kupendwa. Sisi wasanii, tuna continuity nyingi sana. Kuna wale hawataki kuoa au kuolewa. Wengine wanataka kufanya kazi kwanza kabla. Unahitaji kumpata mchumba ambaye anaelewa kazi. Unaweza kuenda camping hata mwezi kikazi. Nikipata bwana ananielewa, kuheshimu kazi yangu na kunipenda, itakuwa bora. Kazi ya usanii haitaki stress. Inataka amani na uweze kushika lines zako. Kuacha kazi yangu kwa sababu ya ndoa, hatakuwa amekuwa fair. Usanii ni vazi la heshima. Usiogope kuoa msanii eti ndoa haitadumu. Kwa mfano, hujaoa Sultana mwigizaji. Umeoa Mwanasha,”

Sultana airs during weekdays. In the series, Mwanaasha plays the role of a blind girl who was separated from her actual parents after birth.

 

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *